Alafu tangazo moja liliandika UALIMU DALAJA LA 3 A na LINGINE LA STASHAADA inakuaje sasa kuna watu paka saizi wapo private wana four kuanzia za 32-34 /26-27 naomba kujuzwa kama kuna mtu anafahamu kwa undani zaid
Wakuu naomba kujuzwa kwa wale ambao wanaufaulu wa alama 26-27 na wale wa 32 -34 waliopo private hatima yao nn.,! na kingine kulikuwa na matangazo mawil ya wale wa 3 na walio pata 4 na matangazo yaliusisha kuanzia mwaka 2004 inakuaje nw kusema imefutwa
Kila siku mambo yanabadilika yani kwa iyo it's better uxome nw cz utakuta mwakani viwango vinaongezeka ulivyo navyo mwaka uhuu vikawa avikidhi wanavyo viitaji kasome tu
Mvumilivu ula mbivu wazee xixi tumekaa kimya watu wanajifanya wanajua kumbe ovyo amna kitu, mnataka kutuambia wengine tuna angalia vibaya matangazo ongeeni kitu mnacho kuwa na uakika nacho POST NGAZI YA CHETI zitatoka na umu ndani mtafunga midomo tu
Yap mkuu cz zilizo toka na stashahada kwa walio pata 1ad 3 na walio maliza six na wengine wapo in service kwa iyo vuta subila ngazi ya cheti ni lazima yatokebna kumbuka kama unaangalia matangazo kuna matangazo mawili moja la stashahada na lingine ngazi ya cheti lkn wote ni ualimu uo uo
Tatizo wengine humu ndani ni vibendera fuata upepo kuna matangazo mawili moja stashaada na lingine ngazi ya cheti kwa iyo wote walio pata four4 majina ayajatoka na sio mda mrefu yanatoka na wataenda chuo nao
Eeeh mungu wetu muweza wa yote tunaomba sisi wanao tunao subilia post za ualimu majina yetu nasi yaweze kutoka amgalau tuweze kuona nuru cz tupo kitaaa maisha magumu tukilala tukiamka ina kuwa ni afadhali ya jana niwatakie uvumilivu mwema serikali yetu nayo inajua tunavyo lalamika umu ndani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.