Scania ni noma; Mbeya-Dar kuna Happy Nation (Sauti Ya Manka), Arusha-Dar kuna Chakito(Ndama Jeuri au Masogange) Ngorika(Nazareth au Macedonia), Mwanza-Day Kuna Ally's Sport Bus. Hayo mabasi niliyataja hapo hakuna Yutong ishawahi kuyaona hata yalipopita...
Abood na Hood wote wanatumia Scania, Taqwa na Falcon wanatumia Nissan Diesel UD ambayo yana uwezo wa kuvumilia safari ndefu mno. Kama utakumbuka kombe la dunia lilifanyika South Africa mabasi yaliyotoka hapa kupeleka watu huko yalikuwa ni ya kampuni ya Kampala Coach ambayo yote ni UD...
Bado hakuna kampuni ya kuishinda Scania. Na labda huko ambapo Yutong zinasumbua wana Scania model za zamani. Sasa hivi kuna Scania F330 ambako kwa Mwanza wanazo kampuni ya Ally's, kwa Mbeya kuna Nganga, Budget, Moshi na Arusha kuna Dar-Express na mengineyo. Bado hakuna Yutong ya kukimbizana na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.