Kuna bwege mmoja anasema waislamu ni wengi hapo dar,sasa sijui hao waumini wa mwaposa ni sawa na misikiti mingapi,bado waumini wa Nicholas suguye....hapo hujagusa Rc churches ambao wanajaza misa tatu huku kila misa ikiwa na watu almost 300,bado makanisa ya walokole
Wakristo wastaarabu sana nenda hata kwenye mashule yao utakuta wameajiri walimu wengi tu waislamu as long as wao hawaangalii udini bali wanaangali uwezo wako.......we unafikiri tukisema tupige kura kidini kuna muislam ataingia ikulu?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.