Recent content by bizplan

  1. B

    Ni lini serikali itaanza ujenzi wa SGR ya kwenda Moshi na Arusha?

    Kweli na nyie pia mnahitaji hii kitu. Ila tunafanya kwa phase.
  2. B

    Serikali ya Tanzania inapaswa kujenga SGR kutoka Dar, Tanga hadi Kilimanjaro na Arusha na kutoka Dodoma hadi Arusha

    Katika kipindi cha hivi karibuni, Tanzania imefanya maendeleo makubwa katika sekta ya usafiri kupitia ujenzi wa Reli ya Kiwango cha Kati (SGR). Ujenzi huu umekuwa na manufaa makubwa kwa uchumi wa nchi, hususan katika kuimarisha biashara, utalii, na kuboresha usafiri wa abiria na mizigo, na kwa...
  3. B

    Ni lini serikali itaanza ujenzi wa SGR ya kwenda Moshi na Arusha?

    Kabisa, tunaomba serikali ijenge reli ya sgr Dar Moshi Arusha.
  4. B

    Je Unahitaji Mtaji Mkubwa wa Biashara Kuanzia 2.7b?

    Unataka kujua mtaji wetu ili iweje? Maswali ya kipuuzi kama haya sijibu.
  5. B

    Je Unahitaji Mtaji Mkubwa wa Biashara Kuanzia 2.7b?

    Tunavyo vyote hivyo, ila sio lazima kuweka hapa. Mwenye uhitaji atakuja, asiye na uhitaji basi afanye mambo mengine.
  6. B

    Je Unahitaji Mtaji Mkubwa wa Biashara Kuanzia 2.7b?

    Asante kwa kunirekebisha kingereza, lengo lilikuwa kuitaja consultancy firm, anyway its okay.
  7. B

    Je Unahitaji Mtaji Mkubwa wa Biashara Kuanzia 2.7b?

    Sina uhitaji wa hii pesa, na wewe kama huhitaji kaa pembeni.
  8. B

    Je Unahitaji Mtaji Mkubwa wa Biashara Kuanzia 2.7b?

    Ndio, wanatoa kuanzia usd 1m ambayo ni sawa na 2.7b.
  9. B

    Je Unahitaji Mtaji Mkubwa wa Biashara Kuanzia 2.7b?

    This is the correct point. Asante..
  10. B

    Je Unahitaji Mtaji Mkubwa wa Biashara Kuanzia 2.7b?

    Baadhi ya Watatanzania ni watu wa ajabu kabisa, haujathibitisha unachosema unaishia kuwakatisha tamaa wengine, wewe kama huhitaji, wenye kuhitaji watakuja.
  11. B

    Je Unahitaji Mtaji Mkubwa wa Biashara Kuanzia 2.7b?

    Wasiliana nasi kwa maelezo tafadhali..
  12. B

    Je Unahitaji Mtaji Mkubwa wa Biashara Kuanzia 2.7b?

    Hapana, hatutoi ushauri namna ya kutumia bali tunatoa ushauri namna ya kupata. Na sisi kama consultancy jukumu letu ni ushauri tu, ila ndani ya ushauri kuna kila kitu including hizo connection unazosema.
  13. B

    Je Unahitaji Mtaji Mkubwa wa Biashara Kuanzia 2.7b?

    Fursa tuliyonayo ni kutoa ushauri kwa wanaohitaji wawekezaji na mikopo mikubwa kuanzia 2.7b. Kumbuka tunatoa ushauri tu, hatutoi pesa.
  14. B

    Je Unahitaji Mtaji Mkubwa wa Biashara Kuanzia 2.7b?

    Tunao mtaji wa kutosha kazi zetu tunazofanya.
Back
Top Bottom