Recent content by Bishara mchomvu

  1. Bishara mchomvu

    TCU kuanza kuchaji Quality Assuarance Fee

    Quality Assurance Unity ni organization ambayo kazi yake kubwa ni kuhakikish kuwa wanafunzi wanapata quality education I mean EDUCATION OF HIGH QUALITY. Organization hizo zipo kila chuo japokuwa yawezekana wanafunzi wengine ndan ya chuo kutojua kabisa issue hiyo, lakuni kila chuo hiyo kitu...
  2. Bishara mchomvu

    Jinsi ya kujiunga na mafunzo ya ualimu wa shule za msingi, Naomba msaada

    Kwa yeyote anaejua, Naomba msaada wa kufahamu vyuo vya private vinachukua hadi GPA ya ngapi kwa wale wenye PASS ? Maana yake ni kwamba. GPA ya mwisho kuchkuliwa kwa vyuo vya private na ngapi ?
  3. Bishara mchomvu

    Naweza kupata matokeo ya kidato cha nne kwa Jina?

    Jamani jamani, Kuna mdogo wangu alimaliza kidato cha nne mwaka jana af eti hana uhakika na namba yake, yani namba yake ya mtihani ameisahau. Msaada jamani kama kuna uwezekano wa kuyaona matokeo kwa majina. Mimi nimetafuta sioni.
  4. Bishara mchomvu

    TCU kuanza kuchaji Quality Assuarance Fee

    Hela hiyo ni kwaajili ya QUALITY ASSURANCE UNITY.
  5. Bishara mchomvu

    Malipo ya kuwa msimamizi wa mitihani mara mbili yakoje?

    unaposema msimamizi anapewa kazi mbili unamaanisha kazi zipi??
  6. Bishara mchomvu

    Tahadhari kwa wale wote waliopata vyuo....

    Hakuna badiliko lolote litakalotokea coz Majina yapo kwenye vyuo na pia ukilog in tcu inaonyesha kabisa chuo mtu alichopangiwa.
  7. Bishara mchomvu

    Je, ni sahihi Diamond kutumika kwenye Kampeni ya TUPO WANGAPI?

    We fffala kweli! toa ushamba wako apa! PELEKA MADA ZAKO ZA MAPENZI KWENYE JUKWAA HUSIKA. Hapa ni ELIMUTU BABUEEEEEE........... Ustuchafulie jukwaa okey? PUMMBAVU!!
  8. Bishara mchomvu

    Kwa wale ambao majina yao hayapo kwenye second round application.

    Jamani wana jamvi; mimi jina langu halipo kwenye ile orodha ya second round app. but nikiingia kwenye profile yangu, af niki-klick ile application batton; ninaletewa yale maneno ya 2nd round app.!! mf. 1st come 1st save basis! but jina langu kwenye orodha halipo! vip wenzangu na nyie ni hivyo...
  9. Bishara mchomvu

    Msaada;hv Masomo Ya 'A'-LEVEL, Inawezekana kusoma mwaka mmoja na ufaulu ukawa mzuri?

    Inawezekana kabisa kinachotakiwa ni kwamba uwe serious kiukweli.
  10. Bishara mchomvu

    Jamani tusaidiane kidogo kuhusu form za mikopo.

    Nimepata taarifa eti kuna baadh ya fomu za mikopo zimekosewa na hivyo zimerudishwa ili zirekebishwe! Swali langu ni je, hizo fomu zinarudishwa posta au ni majina yanatolewa? halaf nimejaribu kupekenyua hesb ila sijaona hata Tangazo!! Kama kuna anaelijua hili anisaidie.
  11. Bishara mchomvu

    Jamani tcu jamaaaaaaaani!!!

    Jamani wandugu, tcu majanga ma2pu. Program nilizokuwa nimejaza, mwanzoni niliwekea YES zote but leo nashangaa leo nimewekewa NO kwenye program nilizokuwa na sifa nazo. Sasa muda umeshapita itakuwaje wenzangu?
  12. Bishara mchomvu

    Tatizo kwenye kulog in 'Olas heslb'

    Password ya HESLB nimeisahau! Sasa kuna sehemu ya ku-reset password; ambapo wameandika kwamba kuna njia 3, sasa ile njia ya kwanza imenishinda! Tatizo langu ni kwamba nashindwa kutumia njia ya pili iliyo rahisi ambayo ni ' reserting pasword by email' nashindwa kuingia namba 2! Kwenye system...
  13. Bishara mchomvu

    Wanafunzi:- NATANGAZA DAU La 20,000/= faster

    Money is 'Uncountable' noun; so u can't speak of total!!
Back
Top Bottom