kumekua na malalamiko mengi sana kuhusu huyu mtu kwanini alalamikiwe yeye tu? Kiukweli kuna wakati hata sielewi anayoyazungumza ni akili yake au ya kuazima, kama kweli ametukana awe makini radio si sehemu ya kuropoka tu mawazo binafsi kama huwezi kuongea mambo ya msingi si lazima uongee mimi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.