Ndio maana kipindi kile madaktari wa Kenya walivyogoma (sikumbuki mwaka) Magufuli akamwambia Uhuru atampa madaktari kutoka Tanzania, WaKenya wakachekaa kwa dharau wakasema kama kuna madaktari Tanzania basi ni Waganga wakienyeji. Basically, kusema kiwango cha elimu yetu kikochini sana. Very poor...
Katiba mpya hutaki? Kama hayo uliyoyaandika yanaumuhimu kwako ni bora ukasupport katiba mpya itakayo kupa wewe uwezo wa kuwajibisha viongozi wabovu, kuleta mfumo wa kuheshimu sheria na kuwajibisha mafisadi na viongozi wanao hujumu nchi
Mlitegemea wahudhurie Bunge la chama kimoja? Hela zao mnachukua kwa ahadi kwamba mtadumisha demokrasia. Wameona kwa macho yao kwamba hakuna demokrasia wala haki. Mwanzoni walishauri Magu arekebishe upuuzi aliofanya ila wameona Magu amewapuuza.
Tume haitamtangaza Lissu kamwe. Tusipofanya maamuzi magumu ya kukataa rais wa Tume basi tujue CCM itatawala milele. It’s now or never. Katiba lazima ibadilishwe
We nae, CCM haijawahi kushinda urais isipokua Kikwete. Magu hakushinda 2015 kama ambavyo hata shinda mwaka huu. Tume na Polisi ndio wanaoibeba CCM. Ushindani wa kura za wananchi pekee CCM hawashindiii na hata wewe unaijua hio
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.