sasa na lowassa aliyesema plan a yake ni kushinda,plan b ni kushinda pia na plan c ni kushinda.ndugu yangu ukiwa unaanza safari lazma uwe na imani kwamba utafika especially kama unataka watu wa kusafiri nao,ili nao wawe na imani safari mtafika pamoja.
wengi mnaocomment humu mnatoa habari zenu vijiweni,hata wewe mtoa mada utambue kwamba hakuna tuzo jamii forums. kwa maisha ya kawaida kuna kuanguka na ukianguka kuna kujipanga tena. na kwenye siasa ndiyo vile vile.sasa ukiona mwana siasi ana ujasiri wa kuliaga jimbo na baadaye kusema anarudi...
Hao wanaonunua yutong hawaonekani, yutong mil 350 hadi 400 kama its customized. Na hapo hapo wengine wana helikopta. Kukodi ndege haizidi dollar 1500 kwa ile ndege anayotumia membe kama mil 3 sasa itabidi membe afanye safari kwa ndege zaidi ya 130 kufikia bei ya yutong. Mikoa ya kutembea ni 15 tu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.