Kabisa yani unampigia mtu kama unamdai wakati ni vitu vya hiari me sitofanya hiki kitu ntakomaa na familia yangu tu labda pia na watu ambao nilishawachangia before.
Hizo ela za kufanya sherehe bora tufanye maendeleo na Mr.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.