Recent content by Binti Msichana

  1. B

    JamiiForums Tanzania Mwalimu atelekeza kazi baada ya malipo ya mshahara wa Tsh 34,000 kwa mwezi

    Laana ya Walimu wa Tanzania kutumika na CCM kuiba kura
  2. B

    JamiiForums Tanzania Mwalimu atelekeza kazi baada ya malipo ya mshahara wa Tsh 34,000 kwa mwezi

    Kuna mambo katika nchi hii yanatokea huyajui. Nimepata kisa cha kusikitisha cha mwalimu wa shule ya sekondari Dunda iliyopo Bagamoyo, Pwani kulipwa mshahara wa elfu thelathini na nne (34,000) Tsh baada ya kupewa adhabu na Tume ya Utumishi wa Walimu TSC-Bagamoyo. Mwalimu huyu amepewa adhabu ya...
  3. B

    JamiiForums Tanzania Mwalimu atelekeza kazi baada ya malipo ya mshahara wa Tsh 34,000 kwa mwezi

    Hawajali, wanakata tu....nchi ni yao....
  4. B

    JamiiForums Tanzania Mwalimu atelekeza kazi baada ya malipo ya mshahara wa Tsh 34,000 kwa mwezi

    Hii ni kweli,madeni yalimuandama
  5. B

    JamiiForums Tanzania Mwalimu atelekeza kazi baada ya malipo ya mshahara wa Tsh 34,000 kwa mwezi

    Hajafukuzwa kazi, kaamua kuondoka mwenyewe
  6. B

    JamiiForums Tanzania Mwalimu atelekeza kazi baada ya malipo ya mshahara wa Tsh 34,000 kwa mwezi

    Mshahara wake halisi sijui, hajaniambia
  7. B

    JamiiForums Tanzania Mwalimu atelekeza kazi baada ya malipo ya mshahara wa Tsh 34,000 kwa mwezi

    Labda kahonga au kanunua gari, sijui.
  8. B

    JamiiForums Tanzania Mwalimu atelekeza kazi baada ya malipo ya mshahara wa Tsh 34,000 kwa mwezi

    Walimu waboreshewe maslahi kama wabunge. Nilisikia report ya katibu mkuu wa tume ya Utumishi wa Walimu kwamba asilimia 50 ya Walimu wamefukuzwa kazi kwa utoro baada ya kuishi ktk mazingira magumu. Mbona hatusikii idadi hiyo kuacha kazi Benki Kuu, TRA, Uhamiaji, Bandari, Jeshi?
  9. B

    JamiiForums Tanzania Mwalimu atelekeza kazi baada ya malipo ya mshahara wa Tsh 34,000 kwa mwezi

    Sijui hizo pesa kafanyia nini
  10. B

    JamiiForums Tanzania Mwalimu atelekeza kazi baada ya malipo ya mshahara wa Tsh 34,000 kwa mwezi

    Kweli mkuu, kuna kenge wanazingua sana katika nchi hii lakini hamna anayewagusa. Nchi ni yao, serikali ni yao, ila kila jambo lina mwisho wake.
  11. B

    JamiiForums Tanzania Mwalimu atelekeza kazi baada ya malipo ya mshahara wa Tsh 34,000 kwa mwezi

    Anadaiwa na benki ya NMB, na FAIDIKA.
  12. B

    JamiiForums Tanzania Mwalimu atelekeza kazi baada ya malipo ya mshahara wa Tsh 34,000 kwa mwezi

    Ni elfu thelathini na nne(34000).Mr.Ban huyu mwalimu ni graduate, ana degree kutoka UDSM.
  13. B

    JamiiForums Tanzania Mwalimu atelekeza kazi baada ya malipo ya mshahara wa Tsh 34,000 kwa mwezi

    Kumbuka huyu mwalimu alikuwa na madeni lukuki, kabla ya adhabu hiyo alikuwa na makato mengi. Kazi ya ualimu ina laana, maana Walimu wengi wanaishi maisha magumu.
  14. B

    JamiiForums Tanzania Mwalimu atelekeza kazi baada ya malipo ya mshahara wa Tsh 34,000 kwa mwezi

    Nimesikitishwa kupata habari kuhusu mwalimu anayefundisha shule ya sekondari Dunda iliyopo Bagamoyo mkoa wa Pwani kukimbia kazi ya ualimu baada ya kulipwa 34000 kwa mwezi. Hii inatokana na adhabu ya kushushwa cheo na kulipwa nusu mshahara na Tume ya Utumishi wa Walimu kwa kosa la utoro kazini...
  15. B

    JamiiForums Tanzania Walimu wawaadhibu wanafunzi kwa kuwachania uniforms na kuwapokonya viatu vyao

    Tabia hii ya kuwaadhibu wanafunzi kwa kuwachania uniforms na kuwapokonya viatu vyao imeota mizizi katika shule ya sekondari Dunda iliyopo Bagamoyo, Pwani. Unamkuta mwanafunzi wa kiume suruali yake imekatwa usawa wa magoti na kuwa kaptura. Au suruali imetatuliwa kuanzia chini mpaka kwenye mapaja...
Back
Top Bottom