Siwezi ruhusu kupasha kiporo ili watoto wapate matunzo, kama wa kuwatunza anewatunza bila kuhitaji kukutana na mimi. Mbona mnaona mwanamke mnaweza kumchezea tu mkitaka loh
Kuwasaidia watoto ni mpaka akutane na mimi faragha? Mwenye nia ya kuwasaidia watoto angewasaidia tu, ndio maana nikikataa analeta maneno kama nilyosema kuwa nina jeuri, kiburi, nitakuwa na mwanaume ambaye ananipa kiburi, na kusema hatawasaidia kwa kuwa nakataa.
Nadhani hamjaelewa, lengo la...
Nimetangulia kusema kuwa nimeandika kipande kidogo sana cha mkasa wangu kuna mengi makubwa ambayo sijasema na sijasema kwa sababu maalum, ungejua mkasa mzima natumai usingesema habari za kumsamehe,
Nilishamsamehe wala simhukumu, na yeye hana nia ya kutoa support mpaka akutane na mimi labda kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.