Recent content by bin haroub

  1. B

    JamiiForums Tanzania Kwanini Rais Samia habinafsishi wala kuuza bandari ya Zanzibar na Uwanja wa ndege wa Zanzibar?

    Zanzibar ina Raisi wake mwenye mamlaka ya kufanya hivyo ni Rais wa Zanzibar sio Samia
  2. B

    JamiiForums Tanzania Wana CCM kama sio waoga wamuachie Balozi Nchimbi azungumze badala ya kumshambulia akiwa amefichwa

    Wameiga kwa babu yenu HAAMBILIKI aka MCHONGA MENO alivomzuia Aboud jumbe pia hakumpa nafasi ya kuzugumza mpaka ameaga dunia
  3. B

    JamiiForums Tanzania Rais Dkt. Mwinyi awakaribisha wawekezaji wa Serbia kuwekeza Tanzania

    Tanzania bara na Zanzibar
  4. B

    JamiiForums Tanzania Kwanini Wazanzibar hawatekwi na kupotezwa?

    Wazanzibari walishatekwa zamani kina hanga kina othman sharif kina jaha ubwa kina jimy Ringo kina Saleh sadala na wengine wengi tu zaidi ya miaka 60 hata makaburi yao hayajuliakani yapo KUNA ZAMA ZAMU poleni sana watanganyika
  5. B

    JamiiForums Tanzania Jussa: Rais katoka Zanzibar imekuwa nongwa, Rais alipokuwa wa kwao hawakuona Tanganyika imeuliwa

    Awepo ukonga kwa makosa gani ?
  6. B

    JamiiForums Tanzania Jussa kaamua kufungua Pandora box! Kazi imekwisha

    Tu Tuko pamoja sana Jussa
  7. B

    JamiiForums Tanzania Jussa: Rais katoka Zanzibar imekuwa nongwa, Rais alipokuwa wa kwao hawakuona Tanganyika imeuliwa

    Kasome kwanza katiba ya muungano
  8. B

    JamiiForums Tanzania Nchimbi ni Shujaa wa Taifa au kajiuzulu kwasababu zake?

    Hao jamaa ndio wamemuiga huyo nyerere alivofanyia Aboud jumbe
  9. B

    JamiiForums Tanzania Nchimbi ni Shujaa wa Taifa au kajiuzulu kwasababu zake?

    Mwambie huyo mzee Warioba asiwe na wasiwasi yuda eskariote yupo sehemu salama kama ilivokua kwa Aboud jumbe kuwekwa sehemu salama na MCHONGA MENO
  10. B

    JamiiForums Tanzania Kama ni kweli katiba nzuri, siuitishe uchaguzi huru na haki? Haya tuambie, kama kweli mnabadilishana kwa Amani, yu wapi aliyejiuzuru Leo?

    Eliejiuzulu yupo sehemu salama kama ilivokua kwa Aboud jumbe alivowekwa sehemu salama na MCHONGA MENO
  11. B

    JamiiForums Tanzania CCM, Hii siyo sawa. Pamoja na yote , msingelimfutia uanachama nchimbi. Mungu anawaona

    Haa haa yuda eskariote
Back
Top Bottom