Haelewi tu mkuu.
Siamin ktk nyota ila naamin kuna baadh ya wanawake tumeumbwa na vitu(sio urembo) fulani vya tofaut vinavyofanya baadhi ya wanaume wakitujua wahisi without us life is meaningless.
Binafsi nimekua naliliwa na wanaume wazee/vijana kapuku wenye nazo toka niko binti na sasa ni...
MKuu.
Ukioa mbibi,mtakua na amani mkiwa peke yenu tu ila popote walipo wengine lazima watawashangaa na kuwasema na wengine watawacheka.
Mkewe macron anasemwa vibaya nadhan kuliko wake wa marais wote kwa sasa.Wamefikia hadi kusema ni dume ila sio dume ni yale maplastic sugery ya kupambana na...
Kabisa.
Eti kijana wa 30 aache kuvutiwa na binti wa 18 au 20s ambao kila kiungo chao kinavutia aje anidanganye mm kikongwe eti kanipenda sbb kachoka fujo za vibinti na nimuamini.Kwanza sitajiamin mbele zake.Na sijawahi ona kijana mdogo kadeti na bibi choka mbaya.Mimi na uzee wangu pamoja kuwa...
Napata tu shida kuamini kijana mdogo atapenda kwa dhati mwanamke rika la mamake ila As long as sio mashoga,kama kijana sio minor na kampenda bibi kwa dhati hakuna mwenye haki yakuwasema vibaya.
Hapana.
Sitaumia.
Mwanaume wa 50 anaweza kuoa binti wa 20 na wakapendana kwa dhati na wakaheshimiana ILA ni nadra sana mwanamke wa 50 aolewe na kijana hata wa 30 wapendane kwa dhati na waheshimiane.
Nitahudhuria na kuchangia harusi ya babu wa 50 na bride 20 ila ya bibi wa 50 na groom wa 30...
MM bibi enu ndo mwanamke pekee ktk huu uzi.
HIvi mwanaume kuwa comfotebo na Id ya kike ni utapeli,ushoga,ugonjwa wa akili au vyote kwa pamoja.?
Halafu mtu akiwashtukia zinakuja Id kongwe kuokoa jahazi kwa kubebishana na "pisi kali" za JF.
Ptuuuuu
MM bibi enu ndo mwanamke pekee ktk huu uzi.
HIvi mwanaume kuwa comfotebo na Id ya kike ni utapeli,ushoga,ugonjwa wa akili au vyote kwa pamoja.?
Ptuuuuuh
Hutaniamini ila umechanganyikiwa mkuu.
Hata hivyo kwa sifa za "shetani" akija tutampenda kuliko Yesu na wala hakuna mwenye hasira nae.
Yesu is boring lucifa is cool.
Fikiria vizuri utanielewa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.