Recent content by bills_steve

  1. bills_steve

    P-Funk Majani umeteleza kumshambulia binti yako kwenye radio, wewe ni sehemu ya tatizo

    Atembee naye mara ngapi sasa na wakati inasemekanika paula ndo wakwanza kuliwa
  2. bills_steve

    Maoni, Ushauri na Mapendekezo kwa Shirika la Umeme Tanzania - TANESCO

    Hivi haya mashirika ya uma lini yataacha rushwa???? Watu wamelipia umeme toka mwaka jana et tunaambiwa hakuna vifaa, wakati huohuo kuna mtu anakwambia kuna vifaa vichache so jiongeze ili uje ufungiwe umeme. Hivi inamaana mnaagiza vifaa mpaka viiahe kabisha au ndi ukiritimba umewajaa. Jaman...
Back
Top Bottom