Recent content by Billal Saadat

  1. Billal Saadat

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Inasemekana Maandamano ni vita ya kugombea Uenyekiti CHADEMA

    Nife kwa ujinga wa nyumbu….
  2. Billal Saadat

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Inasemekana Maandamano ni vita ya kugombea Uenyekiti CHADEMA

    Maandamano ya Mbowe ni kutaka kujiimarisha CHADEMA. The Moment Mbowe anamuacha Lissu kwenye kamati ya maridhiano 6 x 6 Lissu aliamua kufunga roho yake kwa kutokubaliana na maridhiano hata ndani ya chama aliendelea kumpinga Mbowe juu ya maridhiano hayo ambayo yalileta mpasuko ndani ya CHADEMA...
  3. Billal Saadat

    JamiiForums Tanzania Hongera Chadema kuwa wapangaji nyumbani kwa Mbowe Mikocheni

    Ukiwa hujui wewe si watu wote hawana taarifa cha muhimu pokea taarifa kutoka kwa wenye taarifa …!!
  4. Billal Saadat

    JamiiForums Tanzania Hongera Chadema kuwa wapangaji nyumbani kwa Mbowe Mikocheni

    Hakika ni Nyumbu
  5. Billal Saadat

    JamiiForums Tanzania Hongera Chadema kuwa wapangaji nyumbani kwa Mbowe Mikocheni

    [emoji23][emoji23][emoji23] ofisi mmepangisha kwa Mbowe kila mwezi mtalipa dola 5000 mezani aliyepanga mwanzo alikuwa analipa dola 2000 monthly.
  6. Billal Saadat

    JamiiForums Tanzania Hongera Chadema kuwa wapangaji nyumbani kwa Mbowe Mikocheni

    Hakuna mwenye uwezo wa kufanya hivyo kwasasa wamefanya chama kuwa sehemu ya kuchumia ndiyo maana wenye Pesa wanaweza kuwapelekesha watakavyo.! Nani wa kumuhoji Mbowe kwasasa anaamua na kupanga kila jambo ametegea uchaguzi ufike awabane CHADEMA na amefanikiwa lengo lake. Amewapangisha kwa...
  7. Billal Saadat

    JamiiForums Tanzania Hongera Chadema kuwa wapangaji nyumbani kwa Mbowe Mikocheni

    Jamii is become to weak now kwa hoja za namna hii za matusi [emoji23][emoji23][emoji23] hamtafika mbali kama uwezo wenu upo kwenye matusi.
  8. Billal Saadat

    JamiiForums Tanzania Hongera Chadema kuwa wapangaji nyumbani kwa Mbowe Mikocheni

    Mbowe alitaka kuuza nyumba alipogundua CHADEMA mpo mkaingia mkataba subiri uone yajayo kwenye malipo ya kodi ya nyumba tuko pale tumekaa!
  9. Billal Saadat

    JamiiForums Tanzania Hongera Chadema kuwa wapangaji nyumbani kwa Mbowe Mikocheni

    CHADEMA ni mali ya mtu, atakachoamua nyinyi wote mnafuatwa tu!
  10. Billal Saadat

    JamiiForums Tanzania Hongera Chadema kuwa wapangaji nyumbani kwa Mbowe Mikocheni

    Mnaitisha maandamano mkijua wazi ofisi yenu ipo kupatana.com muda wowote mnaweza kufanya vikao chini ya mti.
  11. Billal Saadat

    JamiiForums Tanzania Hongera Chadema kuwa wapangaji nyumbani kwa Mbowe Mikocheni

    Kahamisheni vitu mtaa wa ufipa muingie barabarani ..!! Ila mwisho wa mwezi kodi ni dola 5000 mezani kwa Mbowe.
  12. Billal Saadat

    JamiiForums Tanzania Hongera Chadema kuwa wapangaji nyumbani kwa Mbowe Mikocheni

    Imekuuma vumilia hoja kama unvyozileta humu…!! Basic response yenu matusi [emoji23][emoji23][emoji23]
  13. Billal Saadat

    JamiiForums Tanzania Hongera Chadema kuwa wapangaji nyumbani kwa Mbowe Mikocheni

    Bado Chadema imeshindwa kuondoka mikononi mwa mikono ya Mbowe hii ni baada ya kupanga nyumba maeneo ya Mikocheni, nyumba inayomilikiwa na Mwenyekiti wa chama hicho Aikael Mbowe mwanzo chama hicho walikuwa wamepanga ofisi Kinondoni mtaa wa Ufipa nyumba iliyokuwa mali ya Edwin Mtei. Sidhani kama...
  14. Billal Saadat

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Wapinzani wameshindwa kabla ya Uchaguzi. Katiba ni mbuzi wa kafara

    USHINDI WA RAIS SAMIA 2025 NI ASILIMIA 95. Tanzania tumezoea Siasa za Ushawishi kufanya siasa bila ya ugumu wa kuhasimia au kugawana hizi ndiyo siasa tunazozitaka. Mawazo tofauti si chuki si uadui ni uwezo wa kuzidiwa ushawishi tu. Mfumo wa vyama vingi ulipokuja Tanzania Mwaka 1992, ulikuja na...
  15. Billal Saadat

    JamiiForums Tanzania Rais Samia ni mwanamageuzi ndani ya wakati sahihi

    Baada ya kuapishwa Machi 19,2021 Rais Samia alitamani kuona Tanzania inasimama peke yake bila kutegemea mikopo, lakini ukitizama katika hali tulivyokuwa nayo ilikuwa ni sawa na kujichimbia shimoni! Siku zote palipo na matatizo kuna mzizi wa tatizo lenyewe huo ndiyo wa muhimu kuukata! Matunda ya...
Back
Top Bottom