Recent content by Bill mazengo

  1. B

    JamiiForums Tanzania KERO Malipo ya Kujikimu Ajira Mpya Afya Iramba yachelewa

    Ajira mpya afya halmashauri ya wilaya ya Iramba hatujalipwa pesa zetu za kujikimu, na kila siku tukifuatilia tunaambiwa fedha ziko hazina wiki ya pili saa tangu tumeanza kufuatilia, mara tunaambiwa kulipwa hizo fedha ni 50/50 tukiuliza sababu ya kuwa 50/50 ni nini hamna majibu ya kueleweka.
Back
Top Bottom