Recent content by Bill Jose Kin

  1. B

    RASIMU ya Katiba Mpya Tanzania yazinduliwa

    Bado nina wasiwasi na katiba rasimu hii! Bado inampa mamlaka makubwa sana rais hadi anweza ingilia muhimili wa Mahakama. Rais anateua jaji Mkuu na Makamu wake! Sijaona maana yake. Pili kama tumekubaliana serikali tatu ya muungano basi kuwe na Serikali ya zanzibar, Tanganyika na ya Muungano...
  2. B

    Ujumbe hatari wanaswa na serikali...

    Nchi hii ina matatizo mengi sana! Siamini huyu Nchimbi ni Dr wa nini? Kama Doctor of Philosophy, alifundishwa nini? Anashindwa kufikiri? Why? Anashindwa kufanya upembuzi wa kina, nini sababu ya matatizo hayo? Watanzania tumechoka siasa za katuni. Tunataka siasa inayoleta tija kwa watanzania...
Back
Top Bottom