Mimi ni mgeni wa Jamiiforum, nilijiunga wiki chache zilizopita lakini sikupata muda wa kuanza kuzungumza na wahusika humu.
Naomba nikaribishwe nikiamini itifaki imezingatiwa.
Umri wangu miaka 25
jinsia: ME
Kama kuna kanuni,amri,sheria au taratibu mnielekeze hasa wale wakongwe/wahenga...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.