Soma Maelezo vizuri Tajiri😊
Nimemaliza kupauwa nimebakiza bati 5 nzima Tajiri. Hazina vipengere labda uje navyo wewe Tajiri😊
👉Bati ni Kampuni ya ALAF geji 30.
👉Mgongo mpana(Covermax) zipo 3 na mgongo mdogo zipo 2.
👉 bei ni TZS. 34,000 tu(hamna maongezi) kwa kila moja Tajiri.
👉 Zote jumla ni...
Habari Ndugu, jamaa na marafiki
Sisi sote tumesikia au tumepitia kuhusu kutapeliwa kwenye ununuzi wa viwanja.
Hii hali inachosha na inaumiza sana, hasa kwa yule aliyetapeliwa kwenye ununuzi wa viwanja.
Wengi wetu huwa tunawacheka waliotapeliwa au kununua kiwanja chenye mgogoro (nakuombea...
nauza hizi mashine za Stationary..chagua unayoipenda hapo..njoo na ofa yako nzuri kabisa ..tuafikiane uchukue bidhaa..
NB. Zimeharibika hazifanyi kazi..ila unaweza ukazirekebisha zikapiga mzigo tena.
Zipo Muleba, Kagera..!
Tukiafikiana bei, nakusafirishia mm mwenyewe mpaka hapo ulipo kama upo...
Dell Latitude d610.
Hard disk 320GB
Duo core.
KWANINI NAIUZA?:
a)- haiwaki tatizo linaweza likawa ni RAM
( Inatumia RAM DDR2)
b)-sina adapter yake.
(Sijaipeleka kwa fundi kuifungua fungua..kwahiyo bado ina upya wake.
)
c) Nina shida na pesa.
BEI:
-Naiuza kwa Tsh. 220,000.
MAWASILIANO...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.