Zanzibar
Bei ya unga wa sembe imeendelea kupanda kisiwani Unguja mpaka kufikia Sh2,200 kwa kilo moja, kutoka kiasi cha Sh900 Desemba mwaka jana.
Baadhi ya wakazi, walisema kupanda kwa kasi kwa bidhaa hiyo kunayafanya maisha yao kuanza kuwa magumu kiasi cha wengi wao kushindia urojo na ubwabwa...
chini ya Pombe kijana pembe zake zimekuwa zaidi.. binadamu hafichi tabia zake kwa muda mrefu walau hata kwa kuigiza tu... kuna siku atajipambanua tu jinsi alivyo hasa anapopata dhamana ya kuongoza watu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.