Recent content by bilalamz zungu

  1. bilalamz zungu

    Kwa mtazamo huu wa Rais, idadi ya vyuo itaongezeka

    Cha kimataifa ni kip? Moja ya sifa ya Chuo ni kutoa acomodation kwa wanafunzi wake sasa hvyo vyuo havina hata maabara ni vya kazi gani sasa make hakuna rejea yoyote. Mnadangaya watoto watoe mawzo mtandaoni si upuuzi huoo...! Aaaa tupa Kule bhana
  2. bilalamz zungu

    Nataka kuappeal mkopo

    Yatima ni MTU yeyote ambaye hajafikisha umri Wa miaka kumi na nane ambaye wazazi wake wote wawili wamefariki.
  3. bilalamz zungu

    Ombwe elimu ya juu

    Ndugu wana jf kwa masikitiko makubwa nimelazimika kuujulisha uma Wa kitanzania kuwa elimu yetu ya juu sasa inaenda kuwa elimu ya kibaguzi na hii imesababishwa na serikali yenyewe kupitia combo chake chenyewe kinachohusika na kuratibu pamoja na kutoa mikopo kwa wanafunzi Wa elimu ya juu kutoa...
  4. bilalamz zungu

    Kwa wale wa applied geology

    Course Moja mbovu cjapata kuiona
  5. bilalamz zungu

    Naomba ushauri kuhusu Course ya Metallurgy and Mineral Processing Engineering

    Basi we umaona ipo ipi? Ukishindwa uwe kinywa mkuu usitake kufulahiha umati.
  6. bilalamz zungu

    Naomba ushauri kuhusu Course ya Metallurgy and Mineral Processing Engineering

    Iko sokoni sasa, karibu kwa maoni na ushauri ,asante
  7. bilalamz zungu

    Mada maalum: Karibu tujadili masuala yote kuhusu Mikopo ya Elimu ya Juu

    Acha kupaniki ndugu mkopo utapata acha na hao wadogo zetu wapewe haki yao ,tumwombe Mungu tu mkopo watatoa tuu maana kuna number kubwa ya uhitaji wa wasomi sasa watatuweka wapi wasipotupa mkopa wakati ni wenyewe wemewafanya watanzana wawe masikin . Jipe moyo bado mwanzo tuu, usibabaike na kitu...
  8. bilalamz zungu

    Kwanini Serikali isifute masomo haya? Kisw, Hist, Civ na Eng

    Ni kweli inatakiwa yafutwe kama ni hivyo
Back
Top Bottom