Isaya 40:28 Je! Wewe hukujua? Hukusikia? Yeye Mungu wa milele, BWANA, Muumba miisho ya dunia, hazimii, wala hachoki; akili zake hazichunguziki.
Sasa utawezaje kumuelezea mungu? kwasabab akili zake hazichunguziki nizahali ya juu mfano wa hizi akili hakuna mwana sayansi mwenyeuwezo wakutengeneza...
Io inatokana na tokana ukisha kula chakula damu nyingi huenda kwenye tumbo na hapo sehemu nyingne kama kichwani hupungukiwa damu nakufanya kuanza kusikia usingizi hali hii hutokea akat ukiwa umekaa tuu.hio ndo knowledge ndugu by Dr.Oscar
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.