Poleni na majukumu ya hapa na pale ndugu wana jamvi, kama nlivyoeleza hapo juu week iliyopita,nlipewa namba ya nida, chaa ajabu kila napoenda,kusajiri lain yangu kwa alama za vidole, hakuna kidole kinachokubari , leo nmeenda vodacom na kupewa fom niijaze na kuirudisha nida, nlivyofika nida na...