Jf people how are you?
Wanaume siku zote na wanawake hakuna asiyependa mapenzi.
Kwa hiyo hutafuta wamiliki wa mioyo yao.
Ila kuhusu mitandao woi sioni kama ni sehemu sahihi kumpata mwenza wako.
So kwa wanaoamini anzeni kutafuta kwingine.
Au njia nyingine ya kufanikisha kusudio lako ila msipende...
Wewe ni mwanaume rijali unaletewa chakula unaanza kukikagua mara unachambua chambua utazani mtoto anayetambua ladha ya vyakula hadi mnakera.
Halafu mnaongea english broken na magari yakuazima mnajua mnakera sana.
Jamani nachukia mtu akiact uzungu na hawezi kama huwezi kuiga uzungu acheni.
Mtu anaenda outing anaagiza saani nzima atazuga hapo weewe hadi ache chakula kimepowa.
Au juice akoroge hadi ashindwe kuinywa eti hey mbona juice zenu sio tamuu.
Yaani visa vya hapa na pale.
Hata kuoga anaoga masaa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.