Write your reply...barca ya sasa ni messi akikabwa messi timu aina mtu wa pili wa kuiendesha timu. kiukwel barca yamuitaji sana Neymar mnoo kwakua waliosajiriwa kuvaa viatu vyake wote vimewapwaya. kama unakumbukumbu barca ya msn Neymar ndio alikua afungua njia za mashambulizi na messi alikua...
Write your reply...tatizo la watanzania wengi tunapenda kuongea Bila kuwa na uhakika Wa kitu tukiongeacho. kwasasa mi sidhani Kama kuna haja ya kumlaumu yoyote. sii atujui walifanyiana nn? au ilikuaje mpaka wakagombana, atujui walifikia wapi ktk ugomvi wao, ila kwasasa itabakia ruge...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.