Hakuna m2 anayehutaka umasikini, cha msingi nikutazama nin 2fanye kujenga taifa letu na c kutafuta mchawi nani.'hii nchi cyo ya chama n ya wanachi wote.
C dhan kama katiba inaitaj muda mref kiac hicho lazima watanzania washilikishwe k kamilifu lazima katiba hi lenge wa2 wote na c tabaka tawala2 licha 2 ya katiba lazima kuwa na taasisi hulu ya kusimamia utekelezwaji wa katiba na isiwe wizala..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.