Recent content by BIG BLAND

  1. B

    Msaada wa wazo la biashara

    Facebook Moja ndo nn kk
  2. B

    Msaada wa wazo la biashara

    Wakuu toka nizaliwe sijawahi fanya biashara yoyote na kwa sasa nina kama shilingi milion 2 Naomben wazo la biashara ili niweze kuiendeleza
  3. B

    Adhabu ya kunyonga hadi kufa imepitwa na wakati?

    Me nadhan ashabu ya kunyogwa ifatwe tu kutokana na kosa lenyewe kazamilia au vep na kama kazamilia ni kifo tu kama kaona mwenzie hana thaman bas nayeye hana thaman pia na kama kauwa kwabahat mbaya bas ata kuwa anahak ya kusamehewa Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Back
Top Bottom