Recent content by bie2

  1. B

    Mayai mayai mayai

    Kwa anaeitaji mayai ya kuku wa kienyeji kiasi chochote na sehemu yoyote ile yanapatikana tupo mbeya gharama za usafiri ni juu yako yai moja ni tsh 500
  2. B

    Naomba kujuzwa wakuu

    Namba kujuzwa tafadhari kama mtu kasoma diploma in general agriculture anaweza akasoma bachelor ya human nutrition?
  3. B

    Naomba kujuzwa bei ya debe la mahindi kwa Dar

    Naomba kujuzwa bei ya debe la mahindi kwa dar nishingapi au kwa kutumia kilo kipimo kilicho zoeleka uko nishingapi kwa yoyote anaeganya biashara ya nafaka dar na anaitaji mahindi mazur tunaweza wasiliana
  4. B

    Muongozo wa kozi ya kuchagua kwa undergraduate mwaka wa masomo (2017/2018)

    Pharmaceutical science inausika na nn hasa je nisawa na pharmacy au ni vitu viwili tofauti naombeni msaada plz
  5. B

    University admission results updates (Matokeo ya udahili vyuoni)

    Udom wanatukumbushia enzi za kutoboa shuleni
  6. B

    University admission results updates (Matokeo ya udahili vyuoni)

    Ivi kwa saivi naweza pata chuo nika apply clinical medicine mana uku naona hari ni tete kwangu
  7. B

    Msaada washeria ya ARIDHI

    Uwanja wangu umepakana na kiwanja cha mpira sasa wamiliki wa uo uwanja wa mpira wanatakakuuza kwa muwekezaji na muwekezaji anataka eneo kubwa kwaiyo wametuingilia hadi wanannchi tulio zunguka eneo la uwanja wanang'ang'ania kua ni eneo lao mbaya zaidi mwenyekiti wa kijiji ana mkono kwenye hiyo...
  8. B

    Msaada washeria ya ARIDHI

    Eneo ni mjini Tim yampira ndo wana ling'ang'ia
  9. B

    Msaada washeria ya ARIDHI

    Jamani naomba msaada eneo langu linachukuliwa na limekwisha endelezwa nanyang'anywa bila kuusishwa nataka nifungue kesi msaada nisimamie sheria zipi na vifungu vipi?
  10. B

    Muongozo wa kozi ya kuchagua kwa undergraduate mwaka wa masomo (2017/2018)

    Wakuu nipo mbele yenu kuomba msaada wa kujua vyuo vizuri vya misitu ajira zake na jinsi ya ku apply ni hayo tu wakuu Sent using Jamii Forums mobile app
  11. B

    Msaada:Nimeshindwa kuona diploma ya kilimo NACTE

    Asante sana mkuu sikulijua ilo Sent from my TECNO-Y2 using JamiiForums mobile app
  12. B

    Msaada:Nimeshindwa kuona diploma ya kilimo NACTE

    Nipo najaribu ku apply diploma nataka cozi za kilomo nimelipia nacte naona ualimu na afya nomba kujuzwa wakuu Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom