Samahani kama wewe ni mwanasheria .ni kuulize swali .kwanini Kuna cross examination? Faida yake ni ipi katika utetezi? Na je hasara ya kutofanta cross examination ni ipi?
Weka kumbukumbu sawa. Lisu hakusema Sheria zibadirishwe .alicho sema ni kuwa Tanzania ijitoe kwanza kwenye MIGA .ndo tuendelee na Mambo yetu .tukikurupuka tutashindwa.na tutashtakiwa na kulipa fidia kubwa
Ok uko vizuri.lakni kumbuka katika sakata la matibabu ya Lissu .ndugai alisema ofs yake haijui kuwa Lissu Yuko wapi na anafanya Nini wakati dunia mzima
inajua yalo mpata Lissu
Dah inasikitisha Sana .sikujua Kama wakati wa kampeni ni porojo .mi nlijua wana Nadi sera ambazo watatekeleza Mara wapatapo ridhaa ya wananchi . Kumbe ni po rojo ,?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.