Tisha xana JF, naomba nimuulize mkuu devil, has a kwenye swala la inflitration of spies, inchi zinazotoa uraia mfano tz kwa raia wa Mataifa mbalimbali, in kwa namna gani tunahakikisha hili halituathiri, pili kwa kupokea wakimbizi toka mataifa tofauti tz inanufaika vp interns of intelligence...