Recent content by BEZEST

  1. B

    Mabomu yarindima Mjini Zanzibar

    mtanzania hajafanya fujo hajakataa amri ya askari wala hajaulizwa chochote, lakini wanapiga tu kwa vile wameambiwa na wanajua hawafanywi kitu, wakiona wananchi wamewajua watahamishwa tu kituo anaendelea na kazi na watu washapoteza maisha, ila midomo yote inayonena kuumiza wananchi mungu atawaadhibu
  2. B

    Mabomu yarindima Mjini Zanzibar

    mungu kashawamulika wote na nahisi ukiweza kuona hali za wengi ssa hivi wanatembea na mashine za kupima bp. mungu mulika kila mwizi
Back
Top Bottom