mtanzania hajafanya fujo hajakataa amri ya askari wala hajaulizwa chochote, lakini wanapiga tu kwa vile wameambiwa na wanajua hawafanywi kitu, wakiona wananchi wamewajua watahamishwa tu kituo anaendelea na kazi na watu washapoteza maisha, ila midomo yote inayonena kuumiza wananchi mungu atawaadhibu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.