Recent content by Beutyqueen

  1. B

    Msaada kuhusu ujauzito na dawa za minyoo

    Habari wapendwa Nligundulika nna minyoo na UTI kisha nkapatiwa dawa, bt kabla ya kupewa dawa hzo nlipimwa ujauzito kwani hzo dawa haziruhusiwi kutumia mjamzito ila nlivopima haukuonekana (nahis ilikua ni siku chache baada ya kuconceive) kwahyo nlipewa dawa hzo nkatumia, sasa baada ya wk2 nkaanza...
  2. B

    Msaada kuhusu afya ya uzazi

    Habari wapendwa, naombeni mnisaidie nligundulika na minyoo na UTI nikapewa dawa lkn kabla sijapewa nlipimwa ujauzito haukuonekana (nahs ni siku chache baada ya kuconceive) ndo nkaruhusiwa kutumia dawa hzo kwan hawaruhusiw wajawazito kutumia hzo dawa, ila baada ya wk2 nlianza kuona dalili za...
Back
Top Bottom