Ndugu wana JamiiForums,
Kuna ndugu yangu anataka aache kazi. Sababu kubwa ni kwamba muajiri wake hamthamini na anajikuta anafanya kazi ambayo kimsingi hafurahii.
Mbaya zaidi wakati anaingia kwenye hiyo kampuni alipatiwa mkataba wa mwaka mmoja, baada ya ule mkataba kuisha hakuwahi kuongezewa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.