Recent content by Bernard Siwakwi

  1. Bernard Siwakwi

    Viwanja Kibaha-Bokotimiza

    Hello! Habari Kama una ndoto ya kujenga au kuwekeza chukua hatua ya kununua na kumiliki ardhi maana ndiyo hatua ya kwanza na msingi bora kabla ya mambo mengine yote. Nunua na kumiliki kiwanja eneo la KIBAHA-BOKOTIMIZA eneo ambalo ndiyo jicho la mandeleo kwa mji wa kibaka. Viwanja viko umbali...
  2. Bernard Siwakwi

    Viwanja vilivyopimwa Visiga-Kibaha

    Habari ndugu, Kama unawaza kujenga ya makazi yako ya kudumu anza kununua kiwanja kwanza. Na kama unawaza kufanya uwekezaji wa kudumu anza kuwekeza kwa kununua kiwanja kwanza. Hakika ukiyanyafanya hayo mambo mawili kwanza utakuwa umejiwekea msingi bora kabisa katika maendeleo yako ya baadae...
  3. Bernard Siwakwi

    Agiza gari, Pata punguzo, Rudishiwa pesa

    Hello mfanyakazi, mfanyabiashara na mjasiriamali mwenzangu. Nilianza biashara yangu nikiwa sina hata gari kunirahisishia shughuli zangu za kila siku.Ilikuwa inanipa shida sana kufanya mambo yangu kwa wakati lakini ilinibidi nipigane tu hivyo hivyo maana nilikuwa sina namna. Namshukuru Mungu...
  4. Bernard Siwakwi

    Agiza gari, Pata punguzo, Rudishiwa pesa

    Hello rafiki, Naamini hakuna mtu ambae hapendi kumiliki gari ili kurahisisha shughuli za maendeleo na usafiri kwa ujumla. Sina uchoyo hasa wa Habari, hivyo kama kweli unahitaki kununua gari kwa sasa napenda nikuelekeze sehemu ambayo unaweza maelekezo na kupata kuagiza gari kwa bei nafuu na...
  5. Bernard Siwakwi

    Kwanini wanyama hawafanyi mapenzi kinyume na maumbile?

    Follow this link to join my WhatsApp group: BE RICH WITH AIM GLOBAL [emoji121][emoji121][emoji121][emoji121][emoji121][emoji121][emoji121][emoji121][emoji121] [emoji765]FURSA! FURSA! FURSA! [emoji654]Je, unapenda kuwa millionaire ndani ya miezi michache? [emoji654]Je, unapenda kulipwa kila...
  6. Bernard Siwakwi

    Kwanini Lipumba anautaka tena uenyekiti wa CUF, alisahau nini?

    Najiuliza maswali mengi sana kwa sasa juu ya mgogoro wa CUF na aliyekuwa mwenyekiti wa Zamani Prof. Lipumba, hivi kweli inakuja akilini kwa mwanasiasa mkomavu kama yeye kujiuzuru nafasi ya uenyekiti tena kwa wakati mgumu wa uchaguzuzi ambapo wanachama na wananchi kwa ujumla ndo walikuwa...
Back
Top Bottom