Recent content by Bepari Original

  1. B

    PCCB Iliharibu Yenyewe Kesi ya Idd Mohamed Simba

    Menosugu unamaanisha aliyeweka hii post ya aibu humu JF ni ndugu yetu Oswald Tibabyekomya wa ofisi yetu ya DPP...duuuh, asitake kutugombanisha na ofisi ya TAKUKURU jamani. Bora umemuumbua aubebe mzigo wa unafiki peke yake na sio kuichafua ofisi yote ya DPP. Aliyoyaandika Oswald humu JF sio...
  2. B

    PCCB Iliharibu Yenyewe Kesi ya Idd Mohamed Simba

    Ofisi yetu ya DPP haina maadili ya kusoma majalada ya watuhumiwa na kuja kuanika siri za ofisi kwenye jamii forum, muda wote sisi ni watunza siri za nchi kwani tunayaona mengi...lakini alilolifanya MASANJAGAMA ni kuidhalilisha ofisi yetu tena kakosa hata aibu kusema amefanya kazi hapa ofisini...
  3. B

    PCCB Iliharibu Yenyewe Kesi ya Idd Mohamed Simba

    Hapana Bintiwangara simlaumu wala kujaribu kuficha ukweli...lakini ni busara watanzania wakaujua ukweli wa mambo kama ulivyo lakini hoja hii inaonesha chuki binafsi za mtoa post...unapokuwa kwenye utumishi wa umma ni vyema maadili ya utumishi yakazingatiwa kwa mambo muhimu ya nchi.
  4. B

    PCCB Iliharibu Yenyewe Kesi ya Idd Mohamed Simba

    Asakuta Same unaloambiwa ni busara tu wala sio "wezi hulindana"...unaweza kuona mwenyewe aina ya utumishi wa umma alionao mtoa hii post...mambo ya ofisini na kwenye mafaili kuletwa kwenye jamii forum. Ukiichambua hii post yake ni dhahiri mtoa post ameamua kumshambulia Hosea kwa chuki zake...
  5. B

    PCCB Iliharibu Yenyewe Kesi ya Idd Mohamed Simba

    Inanishangaza sana utumishi wa Umma wa namna yako MASANJAGAMA...suala lililotokea ndani ya ofisi yenu ya DPP unakuja kuianika humu kwenye Jamii Forum, hivi kuna siri tena za Serikali hapa...mambo haya ndio yamekuwa yakilalamikiwa sana na Mama Selina Kombani kwamba watumishi wa Serikali siku hizi...
  6. B

    PCCB Iliharibu Yenyewe Kesi ya Idd Mohamed Simba

    Mbona hatuambiani ukweli humu ndani...hivi aliyeichunguza hii kesi si PCCB, sasa iweje yeye DPP aone kwamba ndiye anayeijua zaidi kesi hii na kuamua kuiondoa mahakamani kwa mamlaka yake???Wao PCCB waliona Kisena ni shahidi sasa iweje yeye DPP amuone Kisena ni mtuhumiwa huko si kuiharibu...
  7. B

    Dakta Hosea ni kweli haya?

    Wewe Sabato Masalia unaonekana una chuki binafsi na Dokta Hosea, inawezekana una manung'uniko yako binafsi ya kutokaimishwa ofisi....hovyo kabisa. Mbona haya ni mambo madogo sana hadi umeamua kutujuza huo umbea wako humu...hebu tuletee mada yenye tija tujadili kwa maslahi ya watanzania wote na...
Back
Top Bottom