Recent content by Benzodiazepine

  1. Benzodiazepine

    Je, kuna mtu yeyote aliyewahi kushuhudia na kuthibitisha uchawi? Njoo tuongee hapa!

    tulia kijana. sitengui kauli, kwanza elewa maana ya "wengi (majority)" soma tena mara tatu tatu bila kukurupuka. Kuhusu hiyo ya Europe, kuna mwenzio alikuja na hoja kama hiyo na nilishamjibu na hajarudi tena. Rejea replies zilizopita utapata jibu lako. ipo hivi, Europe miaka ya 1400-1700 nao...
  2. Benzodiazepine

    Je, kuna mtu yeyote aliyewahi kushuhudia na kuthibitisha uchawi? Njoo tuongee hapa!

    Ndiyo, ni dhahiri ulikuwa hujui. Sabb ungejua wala usingekomalia kwamba majina ya mwisho ya mtoto ni lazma yawe ubin wa baba. yes majina watapewa utotoni. point yako ya majina nimekuzima imeisha, umehamia nyingine. Hahahah! Hiyo hiyo point yako ya date of birth pia nayo nakuprove wrong, 👇🏽...
  3. Benzodiazepine

    Eti ni kweli ni rahisi kupata mume ila ni ngumu kupata mke?

    unaweza ukaona kama hawana vigezo ila kiuhalisia wanavyo vigezo vyao. That's why sio kila mtu tu watamkubalia. Mfano: kile ambacho ni kigezo kwa "Asha" , kinaweza kisiwe kigezo kwa "Anna", and vice-versa. Waingereza wanasema, "choosing not choose is still a choice"
  4. Benzodiazepine

    Kijana, don't settle with your agemate

    Waingereza wanasema "love is blind"
  5. Benzodiazepine

    Eti ni kweli ni rahisi kupata mume ila ni ngumu kupata mke?

    kwa asilimia kubwa jibu litategemea na jinsia ya anayejibu swali. Mwanamke atavutia upande wake, Mwanaume naye atavutia upande wake. 👇🏽 Mwanamke atasema: "ni ngumu kupata mume, wanaume wenyewe tamaa na hawatulii" Mwanaume atasema: "demu wa kuruka nae utapata, ila kupata mke ndo shughuli...
  6. Benzodiazepine

    Je, kuna mtu yeyote aliyewahi kushuhudia na kuthibitisha uchawi? Njoo tuongee hapa!

    Mkuu, kuna mengi inabidi uyatafute kuhusu RITA na Law of the Child Act 2009. Mtoto kupewa majina matatu kwa kutumia ubin wa baba ni desturi tu, sio lazma kisheria. Hakuna sheria inayolazimisha.
  7. Benzodiazepine

    Je, kuna mtu yeyote aliyewahi kushuhudia na kuthibitisha uchawi? Njoo tuongee hapa!

    rejea post zilizopita, nimekuelezea vizuri kuhusu namna ya kumpa mtu majina full (liwe jina moja au matatu) na yakatambulika kisheria kama utambulisho rasmi. Jina ni utambulisho tu, halina kazi ya ku determine kwamba mtu flani atakua vipi.
  8. Benzodiazepine

    Je, kuna mtu yeyote aliyewahi kushuhudia na kuthibitisha uchawi? Njoo tuongee hapa!

    Jina it's nothing but utambulisho tu, halina uwezo wa kuamua mtu atakuwa vipi. Ukibisha, fanya kama nilivyokwambia umpe mwanao jina ALBERT EINSTEIN, BRUCE LEE, mpe jina la THOMAS EDSON, ROBERT OPPENHEIMER, BARACK OBAMA, JULIUS CAESAR, MAYER AMSCHEL ROTHSCHILD, MOURICE HILLEMAN, MIKE ADENUGA...
  9. Benzodiazepine

    Je, kuna mtu yeyote aliyewahi kushuhudia na kuthibitisha uchawi? Njoo tuongee hapa!

    Mkuu, au haujui kwamba jina la mtu linaweza kuwa lolote tu as long as halikiuki sheria na maadili ya jamii husika? Au unadhani kwamba jina ni lazma liwe la mzazi? Au hujui pia mtu anaweza kubadilisha jina na likatambulika kisheria? Pia it seems that haujui km jina ni just utambulisho tu ili...
  10. Benzodiazepine

    Natafuta Mwekezaji wa Milioni 10+ Kwenye Crypto Trading. Mtaji Unakaa Kwenye Akaunti Yako (Self-Custody). Lengo: Hadi Tsh 500,000 kwa Siku

    Baadae kuna watu watalia na kusaga teeth, toothpick. "when the deal is too sweet with little to no risk, think twice" Ukiona unabembelezwa sanaaaaa kwa kuitwa kwenye fursa yenye zero risk, aisee SHTUKA! 👇🏽 Kama ni kweli kwenye mtaji wa 10M unapata faida 500k kwa siku, basi nashauri uanze tu...
  11. Benzodiazepine

    Je, kuna mtu yeyote aliyewahi kushuhudia na kuthibitisha uchawi? Njoo tuongee hapa!

    Hahah! Kwamba jina lina-determine jinsi ulivyo na utakayokuja kua 🤔 Sawa, ngoja nimwite mwanangu jina JOHN DAVISON ROCKEFELER. Au ALBERT EINSTEIN, Au MUHAMMAD, Au JESUS, halafu tuone itakuwaje, coz mbona kuku-prove wrong ni easy tu. As simple as that!! Mambo yangekuwa easy hivyo kwamba jina...
Back
Top Bottom