Recent content by Bentrizzy

  1. Bentrizzy

    The Awakening African Religion

    Yeah . Nikweli kabisa italemanufaa makubwa sana kwa Afrika sababu watu wengi sana wanapotoka nadini hizi ambazo zinatokomeza utamaduni wa Africa ...Hii inapelekea Umasikini mkubwa kwa waumini...Ningeomba wa Afrika wenzetu msitufikilie vibaya tunahitaji kutunza mila na desturi zetu,pia hata lugha...
  2. Bentrizzy

    The Awakening African Religion

    Sema Broo unachoongea upo sahihi sana dini tulizonazo nizawatuwajammii nyengine nawala sio jamii za afrika,ataukiangalia dini hizo zinatamatuni za uko kwao ata historia namaeneo ni yaupande wao.... Kabla ya dini hizo jiulize Afrika tulikuwa na dini gani,Na kama tusinge tawaliwa na waarabu na...
  3. Bentrizzy

    Uchawi vs akili

    Nachojua kwamba wakoloni walitushinda kwasababu tulishidwa kutumia uchawi kwa akili,badala yake tukatumia uchawi kama uchawi...hicho ndicho kinacho tusumbua mpaka hivi leo kuonakwamba uchawi mbaya kumbe tunashidwa kutumia akili kwenye kutumia uchawi ipasavyo na kuangukia kwenye umasikini na...
Back
Top Bottom