hili ndio tatizo la watanzania kutojua haki na wajibu wao unakurupuka kutoa majibu. bodi walitoa vigezo vya waombaji majibu hayo ungeyatoa kabla ya watu kulipa efu 30 ya form , hela ya uhakiki vyeti wa wanasheria/ mhakamni zaidi ya efu 20 na hela ya utumaji elfu 13 na sent kdhaa . sifa niizile...
lot ya kwanza na ya pili imeisha LAW SCHOOL mikopo yao vp au mpaka waje na nao na viongozi hapo mwenge ndio mjue kama wapo . au wekeni wazi kuwa hakuna maana kuna watoto wa wakulima pia na kazi za degree ya sheria bila LAW school munajua wazi nigumu kupata . kila kazi utakuta must uwe umepita...
bible inayozungumzia mambo ya yesu haikuwepo mpaka alipo ondoka ndio wakaandika , vitabu vote havikuandikwa pindi wahusika wakiwa hai. sasa unataka utabili upitie kwenye aya huwo sio utabili bali utakuwa umesoma maandiko. itabidi utafute maana ya utabili na nabii.
sio kila unabii lazima uwe wa baada ya siku ngapi DAUDI mfalume wa ISREALI alikuwa akitabiliwa siku moja kabla ya vita kuwa atashinda au hatashinda so hilo lisikupe shaka. maana kwa macho na fikira lowasa alionka akingaa na watu wengi .Bulembo alizungumza hivyo kwa kuwa asingeweza kwa namna...
soma kisha bofya link au napo utataka miwani manabii wapo na sio ujaja
Yesu aliporudi kwao wakwao wakamtaka afanye MIujiza ili wamwamini akawajibu ( nabii huwa hakubaliki kwao) usifiki msemo huo ulitungwa na waswahili ni wa yesu. sasa kama kanisani unaona unabii hakuna jua upo gizani maana kazi...
imeandikwa wapi kuwa MUNGU aliweka ukomo wa MANABII maana kazi yamungu lazima iongozwe na Nabii maana bila nabii watu wake watapotea, sasa cheki link hapo chini then uje kuwa wapo na watazidi kuja uamini usiamini. https://youtu.be/y7H680-1RZo
hakuna haja ya kuhangaika unabii ukikataa basi huyo mwongo , Mungu hashindwi . nabii akishindwa Basi Mungu kashindwa sasa tukubali Mungu kashindwa HAPANA , tukubali tu aliye tabili ikawa ni BENDELA maana kweli imekuwa sasa sijui T.B Joshua nitamwaminii vip wakati Mungu wake anashindwa .cheki...
NABII wakweli ni yule anaye tabili ikawa sio yule anaye tabili uwongo( yaani isiwe) maana Mungu hashindwi, sasa T.B joshua ametutabilia uwogo. na huku NABII BENDELA AKIONYESHA KUJIAMNI NA KUTABILI KILICHOTOKEA na kweli imekuwa T.B kaja kujiosha au kungalia aliyetabilli ikawa. link ya utabili...
aliye tabili na ikawa kweli ni NABII BENDELA wa UFUNUO peke yake nafikiri UKAWA walitakiwa kumwona yeye (JAPO NABII HUWA HAKUBALIKI KWAO) maana alisema magufuri ndio atashindi na kweli imekuwa,japo nilitaka babadiliko sina budi kukubali kuwa utabili wake umetimia sio T.B josua aliyetutabilia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.