Recent content by benn masamu

  1. benn masamu

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Nataka kugombea Ubunge mwaka huu

    Kwakuwa tunatambua jukumu la mbunge ni kuuwakilisha umma wa jimbo lake katika Bunge la JMT. Wewe kama mtia nia katika jimbo X, hebu fafanua ni kwa namna gani utazipatia ufumbuzi sababu kuu nne tajwa hapo juu zinazopelekea wewe kutia nia.
  2. benn masamu

    JamiiForums Tanzania Kwanini watu huwa na tabia ya kuwapinga watu wenye IQ kubwa?

    Lazima tuweze kutofautisha baina ya IQ na EGO. Mjuvi wa mambo ni mjuvi tu. Na utambaini katika nyanja kuu tatu, ambazo ni:- 1. Namna anavyo wasilisha mawazo yake juu ya jambo flani katika jamii inayomzunguka. 2. Namna anavyo toa msaada(wa mawazo, pesa au nguvu kazi) katika jamii...
  3. benn masamu

    JamiiForums Tanzania Kwanini watu huwa na tabia ya kuwapinga watu wenye IQ kubwa?

    Lazima tuweze kutofautisha baina ya IQ na EGO. Mjuvi wa mambo ni mjuvi tu. Na utambaini katika nyanja kuu tatu, ambazo ni:- 1. Namna anavyo wasilisha mawazo yake juu ya jambo flani katika jamii inayomzunguka. 2. Namna anavyo toa msaada(wa mawazo, pesa au nguvu kazi) katika jamii...
  4. benn masamu

    JamiiForums Tanzania Je, majeshi ya Tanzania na Afrika Kusini yameshidwa na M23?

    Vita inambinu nyingi za kimapigano. FARDC inaweza kuwaacha M23 kusonga mbele huku wakichukua/kuteka maeneo pasipo mapigano yoyote. Dhamira inaweza ikawa kumvuta adui katika eneo la kimkakati(killing zone). Atakapo wasili eneo husika atakutana na nguvu kamili ya FARDC, huku wakiwa tayari...
  5. benn masamu

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Tusidanganyane, Tanzania hakuna Mtu yeyote anayeweza kuzuia Kufanyika kwa Uchaguzi mkuu

    Tuupe muda nafasi na kumbuka maneno huumba, mbaya zaidi yakirudiwa mara nyingi katika umma hata kama jambo lilikuwa halitekelezeki litatekelezeka kulingana na imani iliyojengeka miongoni mwa wengi.
  6. benn masamu

    JamiiForums Tanzania Lonja Maana yake ni nini?

    Lonja ni msamiati ambao hutumiwa na askari & maafisa jeshini. Lonja limetokana na neno la kingereza “Launcher” likiwa na maana ya KIZINDUA. Askari wa mizinga(ya masafa mafupi na marefu) hutegemea taarifa sahihi katika kupiga lengo(target). Grid Azimuths(Reference Point) za adui alipo na...
  7. benn masamu

    JamiiForums Tanzania Nashauri tanzania iingie mkataba wa haraka na congo vijana wa Kitanzania wapate ajira ya haraka

    Hao vijana wa kitanzania wataobahatika kushiriki katika zoezi tajwa hapo juu, pindi jukumu litakapo kamilika/mkataba wa ulinzi EDRC kumalizika, watarudi nchini kama raiya au askari? JW watakua na mkakati gan juu yao? Maana watakuwa si raiya tena bali ni askar wa vita(kanuni kuu kwao ni mapigo na...
  8. benn masamu

    JamiiForums Tanzania Hakufa kizembe: Nina hakika kuna watu walichezea vitasa. Tena vya maana

    Walicheza hesabu zao vyema. Maana muhusika angefanikiwa kushiriki katika uongozi wa sasa ulioanza kutangaza hadharani misimamo yao juu ya uchaguzi wa Oktoba mwaka huu, Bara pangechimbika. Nadhani kwa mara ya kwanza tungetoa wakimbizi kuelekea Kenya, Uganda na kwingineko. Taifa kwanza, mengine...
  9. benn masamu

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Mwenyekiti UWT Taifa: Lissu asiitishie serikali ya CCM "atulizane"

    Siasa za majukwaani kwa CCM ili hali wako madarakani zaidi ya miaka 50 ni kujichafua. JPM alifanikisha kutoka katika siasa za majukwaani mpaka siasa za site. Watanzania wanahitaji ukamilifu wa matamko na miradi ya maendeleo. Hizi mboyoyo za majukwaani wawaachie CDM kwakuwa wapo ili kufichua...
  10. benn masamu

    JamiiForums Tanzania Ombi kwa Spika wa Bunge: Kuanzishwa kwa Kipindi cha Maswali ya Wananchi kwa Njia ya Mtandao

    Tujikite katika hoja husika. Hichi unachokiibua hapa ni hoja tofauti kabisa.
  11. benn masamu

    JamiiForums Tanzania Ombi kwa Spika wa Bunge: Kuanzishwa kwa Kipindi cha Maswali ya Wananchi kwa Njia ya Mtandao

    Ni wazo zuri sana litakalo ibua hoja na kero mbalimbali, japo litaleta ukakasi katika ile dhana ya Bunge kuwa moja ya Mihimili ya Nchi na wabunge watawajibika Bungeni kwa kuwakilisha wananchi, kuisimamia serikali na kutunga sheria. Ikiwa wananchi watapata ufikiaji wa vikao vya Bunge kupitia simu...
  12. benn masamu

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Raia wa Rwanda wanapenyaje hadi kujazana nchini?

    Hoja si lugha ya Taifa flani kuzungumzwa sehemu ya Taifa flani ni kuhatarisha usalama. Sisi watanganyika tunatambua wapo wahamiaji harumu wengi walio jipenyeza na kupata hifadhi. Hii ni kutokana na udhaifu wa idara inayohusika na jukumu la kubaini na kusimamia uingiaji na utokaji wa raiya na...
  13. benn masamu

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Raia wa Rwanda wanapenyaje hadi kujazana nchini?

    Uwepo wa raiya wa kigeni ndani ya nchi si jambo la kuogofya. Tatizo ni pale uwepo wao kutofuata kanuni, taratibu na sheria. Mbaya zaidi wageni hao kutotambulika na mamlaka husiko (wako wapi, idadi yao na wanajihusisha na shughuli gani). Katika kuimarasha Ulinzi na Usalama katika taifa lolote...
Back
Top Bottom