Lakini turudi kwenye ukweli, Deni hilo lote kwa kipindi ambacho hawa waheshimiwa wamekuwa kwenye operation hawakuwahi kudaiwa?
kama waliwahi kufanya hivyo je ilishindikana kuchukua hatua hizo mapema nakusubiri mpaka wanapotaka kutoweka?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.