Nimesoma kwenye chuo chake ukweli alikua mtu poa sana ani sijawai ona mkurugenzi wa chuo kama yy .
Kuhusu hukumu iyo sina la kusema maana sijui chcht kuhusiana na kazi akiwa mkurugenzi wa ilo bonde.
Tatizo ni jamii kukubali mtu maarufu awaongoze na sio mtu mwenye sifa za kuwa kiongozi awaongoze apo ndo jamii zetu zinapofeli katika kuchagua viongozi bora.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.