sasa wee ndo umekuja na wazo zuuur sana mimi bhana nachomelea lkn nimeunda banda nahitaj kuuza mitumba sasa ela ya kuanzia sasa Tin na lessen
vinapatikana kwa utaratibu hupi
Salamu zenu wakubwa shikamoo
Mimi ni kijana ninae jitafuta sana
Naishi Mwanza najishughulisha na uchomeleaj, ila tatizo ni moja sisi hatukopesheki nahitaji mkopo wakuanzia laki saba. Nimeunda banda nifungue another plan ili niweze kupungunza ukali wa maisha ila je natoa wapi napataje?
Naomba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.