Tangazo la ajira mpya ya walimu lilitolewa na tamisemi April 27 liliambatana na ajira mpya kwa mafundi sanifu maabara.Cha kushangaza mbona majina ya hao mafundi sanifu hayaonekani??? Naomba msaada kwa anayefaham lolote kuhusu hilo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.