Ndugu wapendwa kunamtu yeyote aliye fanya transfer online akapata nafasi? Maana hta sielewi kwasabau wotewalio bahatka kupata nafasi inasemekana walikwenda mojakwamoja mpaka ofisi za TCU
Jaman tokea watoe majina ya wanafunz walio pata mkopo cjafaniki kuona kama jinalangu lipo au hamna kilankijarbu kuhangaika inanisumbua tu anae weza kunisaidia my index number S0659.0071.2010
We mjibu mtu alicho uliza sepa co unajfanya unajua kuwakosoa watu hujisikii au huna point ya kusema kaa kushoto, mtu unaleta ufala kama hii forum umeitengeza ww bwana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.