Hata akirudi awezi kuja kama mlowezi tukampa kula, ndo hao wa kuuza mali asili zetu kwa mikataba ya mura mrefu! Kama aliyotufanyia mkapa! Mtu hawezi kutoka Marekani akaja akawa mzarendo!
Jifunzeni
Sent using Jamii Forums mobile app
mi naona nyie mshakufa kifikra. kwasababu nyie mnatamaa za mali na madaraka na si maendeleo, ndo maana mnakuwa kama maroboti kwa mbowe. Mimi naamini CHADEMA siyo mbaya ila viongozi wa chadema wanakipeleka chama mlama.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.