Recent content by benedictor kwilassa

  1. B

    Waosha magari! Mungu anawaona..!

    Ni bora waoshe gari na wewe ukiwa hapo hapo cz hii inatokea pale tunapojiona tuko bize na kumuachia gari muoshaji kama una haraka kwanini usije siku nyingine inabidi tukubaliane na hayo matokeo
  2. B

    Sifa za wanawake wavivu

    Kweri kabisa na ukitaka kufa kabla ya siku zako kosea mwanamke wa kuoa ukutane na mwnamke kama anaye zungumzwa hapo ni shiiida. Kosea maisha usikosee mwanamke wa kuishi naye kama mke umeliwa
Back
Top Bottom