Ni bora waoshe gari na wewe ukiwa hapo hapo cz hii inatokea pale tunapojiona tuko bize na kumuachia gari muoshaji kama una haraka kwanini usije siku nyingine inabidi tukubaliane na hayo matokeo
Kweri kabisa na ukitaka kufa kabla ya siku zako kosea mwanamke wa kuoa ukutane na mwnamke kama anaye zungumzwa hapo ni shiiida. Kosea maisha usikosee mwanamke wa kuishi naye kama mke umeliwa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.