Recent content by Benedict Kahwa

  1. Benedict Kahwa

    Silinde na Lijualikali jifunzeni kwa Zitto

    Hawa vijana hawajakwiva kisiasa hata chembe, hata huko walikohamia wanaweza wasiaminike wala kupewa nafasi kwa kuwa kuna Sikh wakitoka watafanya haya wafanyayo leo dhidi ya chama walichotoka. Hii ni sawa na mtu aliyekuwa kwenye mahusiano na mtu na muda wote akiwa kwenye mahusiano asiwe...
  2. Benedict Kahwa

    Spika Ndugai: Wabunge watoro warejeshe fedha zote walizolipwa kuanzia Mei 1-17 jumla ya Tsh. Milioni 110

    Spika wa bunge akihitimisha bunge jioni hii amesema kuwa wabunge watoro wote warudishe pesa walizolipwa kwa ajili ya kuwatumikia wananchi ambazo ni kuanzia tarehe 1 Mei mpaka 17 Mei, vinginevyo hawatapokelewa bungeni baada ya wiki mbili ambazo wanadai wapo quarantine
  3. Benedict Kahwa

    Maoni Ya Kambi Rasmi Upinzani Wizara Ya Muungano Mazingira Yakataliwa

    Labda ameona kuna mambo yakisemwa hadharani yatazua taharuki
  4. Benedict Kahwa

    IGP Sirro: Hatujafikia hatua ya kufunga mipaka ya nchi kutokana na ugonjwa wa Corona

    tahadhari mojawapo ambayo serikali inatakiwa kuchukua ni pamoja na kufunga mipaka ama la kufanyike vipimo madhubuti kwani wagonjwa wengi wanaopatikana ni wale waliotoka nje
  5. Benedict Kahwa

    Corona: Meneja wa Diamond na Mwana FA watangaza kuugua Corona baada ya kupimwa

    Serikali inajitahidi sana kuwatahadharisha wananchi wake, wananchi tusifanye masihara juu ya mlipuko wa ugonjwa huu.
Back
Top Bottom