Daudi alishawaza uwepo wa watu Kama wewe na akaandika kupitia Zaburi 14: 1 na 53:1
Nakubaliana na mleta mada kuwa kila tukio linalotokea ama sintofahamu yeyote, Biblia imeacha majibu.
Nafasi bado ipo, Yesu anakuhitaji Ndg.
Wasalaam
Ndugu wasomaji, nimefuatilia nikaona kuwa wasomaji wangu wengi hawakuridhishwa na kuimaliza story bila kuwepo kile kipengele kinachoonesha wazazi walizipokeaje zile taarifa za utekaji.
Nimeona si busara kuwaacha hewani katika hilo tukio ambalo pia kweli lilikuwa important kwangu...
Niliamua kuifupisha sn ili iishe maana muda wa kuandika ni mfinyo na wasomaji hawakuelewi husipobandika epsod. Nimejaribu kufanya walichokipenda. Kumalizia story bhasi!
😆😆😆😆 Unaajua,nikwambie kitu, Mimi nilikuwa natokea mbali hivyo wazazi zangu walikuwa wananijali sana mzee alikuwa anafanya kazi taasisi kubwa so hakutaka nipate shida kabisa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.