Recent content by Bendanda

  1. B

    Aliyemleta Fredy Michael akamatwe mara moja

    Hakika! unamwacha Phiri unaenda kusajili Ndevu
  2. B

    Mashujaa Sasa wanaelekea kwenye kiwango chao

    Hakika sasa wamerudi kwenye kiwango chao, Msimu huu wanarudi walikotoka wasipoacha uchawi wao 🤣 🤣
  3. B

    TV ya Azam Sasa rasmi kutangaza pombe hadharani

    Mwandishi unafikiri M BET na SPORT PESA siyo michezo ya bahati nasibu! mbona AZAM wanatangaza hizo?
  4. B

    Waziri wa TAMISEMI fumua uongozi wote wa TARURA Mkoa wa Mara

    Bila vielelezo ni kama majungu tu
  5. B

    Nimemkumbuka golikipa Mosses Mkandawile

    Kuandika kazi bwana 🤣
  6. B

    Ukweli ni kwamba Gerson Msigwa ameshushwa Cheo

    Una uhakika na ulichoandika?
  7. B

    Uonevu hukumu ya Mahakama dhidi ya Vicky Kamata kuhusu mirathi ya mumewe, Dkt. Likwelile

    Sawa Vicky Kamata tumekuelewa, Mahakama imeshatoa haki, kama unaona umeonewa kata Rufaa
  8. B

    Lile pira sisi hatujazoea

    Hakika pira mbovu kabisa! Mgunda alikuwa anaficha makosa ya Huyu Mbrazil sasa yupo na timu yake Pira bovu kabisa
  9. B

    Wakili Mwabukusi anafaa kuwa Rais wa Tanzania 2025

    Anafaa kuwa Mwenyekiti wa CHADEMA
Back
Top Bottom