Recent content by benazirjosemarie

  1. benazirjosemarie

    Sauli ni mfano wa wamiliki wa mabasi waliofilisiwa na madereva fake

    Hakuna biashara rahisi zote ni ngumu inategemea biashara unaindeshaje
  2. benazirjosemarie

    Sauli ni mfano wa wamiliki wa mabasi waliofilisiwa na madereva fake

    Kwanza unajua yutong ni nn na zhongtong ni nn ila waswahili bana ujuaji mwingi elimu hakuna
  3. benazirjosemarie

    Sauli ni mfano wa wamiliki wa mabasi waliofilisiwa na madereva fake

    Na hawa walioko kwenye game mwaka wa 20 km shabiby kilimanjaro wao wanaletewa nn? Tatzo watu mnajifanya wajuaji na ktk ukoo wenu hakuna hta mwenye biashara ya maandazi mnaropoka tu
  4. benazirjosemarie

    Sauli ni mfano wa wamiliki wa mabasi waliofilisiwa na madereva fake

    Naona akili yako haina akili kuna watu walianza n'a gari moja leo hii wana gari 300 n'a kila baada ya Miez kadhaa anaongeza fleet sasa hiyo hawawez kutoboa unataka atoboe tundu lako?
  5. benazirjosemarie

    Mtoto miaka 4 apasua kioo cha basi la Shabiby kwa manati

    Kuna mtoto pia alipata kioo kwa manati nikamfukuza a kakimbilia kwa bibi yake bibi akasema huyu mtoto nmeshindwa kwa tabia zake wazaz wake kuja nikawaambia walipe laki moja wakasema hawana hela ya kulipa labda nichukue kuku mmoja na bâti 3 ndvyo walivyo navyo nikaamua kuondoka tu
  6. benazirjosemarie

    Chalamila afunguka binti aliyedhalilishwa na waliotumwa na afande

    Kwani huyo mume wa mtu hakujua kua ameoa mpk atafute mwanamke mwingine? Na mwanaume si anaweza kuoa hta wanawake 100
  7. benazirjosemarie

    Sababu za Majini/Mapepo Mengi kutopatana na Nyama ya Nguruwe

    Moshi nipo hapa Sent from my PRA-LA1 using JamiiForums mobile app
  8. benazirjosemarie

    Hapa nawaachia wanaoijua vizuri dini mtoe maoni yenu. Rasta Yuko sahihi ?

    Ilitungwa sababu ni maandiko tu km ya gazette la hadithi Sent from my PRA-LA1 using JamiiForums mobile app
  9. benazirjosemarie

    Hapa nawaachia wanaoijua vizuri dini mtoe maoni yenu. Rasta Yuko sahihi ?

    Mm nathibisha kwa sababu ni maandishi km ya hadithi za kutungwa tu kwenye karatasi
  10. benazirjosemarie

    Hapa nawaachia wanaoijua vizuri dini mtoe maoni yenu. Rasta Yuko sahihi ?

    Maandishi si yanaatungwa n'a mtu kwani si kuna hadith za sungura n'a fisi kua walikua wanaongea ndio km Quran ni uongo mtupu haishushwa ila ilitungwa n'a mtu ili kuwateka wajinga wa kufikiri
  11. benazirjosemarie

    Hapa nawaachia wanaoijua vizuri dini mtoe maoni yenu. Rasta Yuko sahihi ?

    I najisemea kvp kuna sauti ya Quran inasema mm nilishushwa au video ineonyesha ikishushwa ?
  12. benazirjosemarie

    Hapa nawaachia wanaoijua vizuri dini mtoe maoni yenu. Rasta Yuko sahihi ?

    Kwa sababu hakuna ushahidi unaonyesha kua ilishushwa
  13. benazirjosemarie

    Kuna mfanyakazi 'immigration', TANESCO au TRA Maskini?

    Kupata hela inategemea na location ulipo mm navuka border sana wengine hakuna wanachopata
Back
Top Bottom